Skip to content
1 Timotheo 5:24-25

1 Timotheo 5:24-25

24
Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni; na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.
25
Vivyo hivyo, matendo mema yako dhahiri, na hata yale ambayo si mema hayawezi kufichika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options