Skip to content
1 Timotheo 5:24-25

1 Timotheo 5:24-25

24
Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni; na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.
25
Vivyo hivyo, matendo mema yako dhahiri, na hata yale ambayo si mema hayawezi kufichika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options