Skip to content
1 Timotheo 5:19-20

1 Timotheo 5:19-20

19
Usiendekeze mashtaka dhidi ya mzee isipokuwa yawe yameletwa na mashahidi wawili au watatu.
20
Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options