Lompat ke konten
1 Timotheo 5:17-18

1 Timotheo 5:17-18

17
Wazee wa kanisa wanaoongoza shughuli za kanisa vizuri wanastahili heshima mara mbili, hasa wale ambao kazi yao ni kuhubiri na kufundisha.
18
Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options