Skip to content
1 Timotheo 4:9-10

1 Timotheo 4:9-10

9
Hili ni neno la kuaminiwa tena lastahili kukubaliwa kabisa,
10
(nasi kwa ajili ya hili tunajitaabisha na kujitahidi), kwamba tumeweka tumaini letu kwa Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi wa watu wote, hasa wale waaminio.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options