Skip to content
1 Timotheo 3:4-5

1 Timotheo 3:4-5

4
Lazima aweze kuisimamia nyumba yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa kila njia.
5
(Kwa maana kama mtu hajui jinsi ya kusimamia nyumba yake mwenyewe, atawezaje kuliangalia kanisa la Mungu?)
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options