Kalo te përmbajtja
1 Wathesalonike 4:6-7

1 Wathesalonike 4:6-7

6
Katika jambo hili mtu asimkosee ndugu yake wala kumlaghai. Kwa kuwa Bwana ni mlipiza kisasi katika mambo haya yote, kama vile tulivyokwisha kuwaambia mapema na kuwaonya vikali.
7
Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options