Skip to content
1 Wathesalonike 4:6-7

1 Wathesalonike 4:6-7

6
Katika jambo hili mtu asimkosee ndugu yake wala kumlaghai. Kwa kuwa Bwana ni mlipiza kisasi katika mambo haya yote, kama vile tulivyokwisha kuwaambia mapema na kuwaonya vikali.
7
Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options