Skip to content
1 Wathesalonike 4:11-12

1 Wathesalonike 4:11-12

11
Jitahidini kuishi maisha ya utulivu, kila mtu akijishughulisha na mambo yake mwenyewe na kufanya kazi kwa mikono yake, kama vile tulivyowaagiza,
12
ili maisha yenu ya kila siku yajipatie heshima kutoka kwa watu walio nje, ili msimtegemee mtu yeyote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options