Skip to content
1 Wathesalonike 3:2-3

1 Wathesalonike 3:2-3

2
Tukamtuma Timotheo ambaye ni ndugu yetu na mtumishi mwenzetu wa Mungu katika kuieneza Injili ya Kristo, aje kuwaimarisha na kuwatia moyo katika imani yenu,
3
ili mtu yeyote asifadhaishwe na mateso haya. Mnajua vyema kwamba tumewekewa hayo mateso.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options