Skip to content
1 Wathesalonike 3:1-2

1 Wathesalonike 3:1-2

1
Kwa hivyo tulipokuwa hatuwezi kuvumilia zaidi, tuliamua tubaki Athene peke yetu.
2
Tukamtuma Timotheo ambaye ni ndugu yetu na mtumishi mwenzetu wa Mungu katika kuieneza Injili ya Kristo, aje kuwaimarisha na kuwatia moyo katika imani yenu,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options