Skip to content
1 Wathesalonike 2:1-3

1 Wathesalonike 2:1-3

1
Ndugu zangu, kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua ya kwamba kuja kwetu kwenu hakukuwa bure,
2
kama vile mjuavyo, tulikuwa tumeteswa na kutukanwa huko Filipi, lakini hata hivyo, kwa msaada wa Mungu wetu, tulikuwa na ujasiri wa kuwaambia Injili ya Mungu ingawa kulikuwa na upinzani mkubwa.
3
Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options