મુખ્ય સામગ્રી પર જાઓ
1 Samweli 8:16-17

1 Samweli 8:16-17

16
Atawachukua watumishi wenu wa kiume na wa kike, na ngʼombe wenu walio wazuri sana na punda kwa matumizi yake mwenyewe.
17
Atachukua sehemu ya kumi ya makundi yenu ya kondoo na mbuzi, na ninyi wenyewe mtakuwa watumwa wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options