Skip to content
1 Samweli 8:11-13

1 Samweli 8:11-13

11
Akasema, “Hivi ndivyo atakavyowatendea mfalme atakayewatawala. Atawachukua wana wenu na kuwafanya watumike kwa magari yake ya vita na farasi, nao watakimbia mbele ya magari yake.
12
Baadhi yao atawaweka kuwa majemadari wa jeshi wa maelfu na majemadari wa jeshi wa hamsini, wengine kulima mashamba yake na kuvuna mavuno yake, pia na wengine kutengeneza silaha za vita na vifaa kwa ajili ya magari yake.
13
Atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi na waokaji.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options