Skip to content
1 Samweli 2:6-8

1 Samweli 2:6-8

6
“Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua.
7
Bwana humfanya mtu maskini naye hutajirisha, hushusha na hukweza.
8
Humwinua maskini kutoka mavumbini na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu; huwaketisha pamoja na wakuu na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha heshima. “Kwa kuwa misingi ya dunia ni ya Bwana; juu yake ameuweka ulimwengu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options