1 Samweli 18:8-9
8
Sauli akakasirika sana; sehemu hii ya kurudia rudia ya wimbo huu ilimkasirisha sana. Akafikiri kuwa, “Wamempa Daudi makumi elfu, lakini mimi wamenipa elfu tu. Apate nini zaidi isipokuwa ufalme?”
9
Kuanzia wakati ule na kuendelea Sauli akawa na jicho la wivu juu ya Daudi.