Skip to content
1 Samweli 15:27-28

1 Samweli 15:27-28

27
Samweli alipogeuka ili aondoke, Sauli akangʼangʼania pindo la joho lake, nalo likararuka.
28
Samweli akamwambia, “Bwana ameurarua ufalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye ameutia kwa mmoja wa majirani zako, aliye bora kuliko wewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options