1 Petro 4:8-10
8
Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
9
Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko.
10
Kila mmoja na atumie kipawa chochote alichopewa kuwahudumia wengine, kama mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.