Skip to content
1 Wafalme 8:55-56

1 Wafalme 8:55-56

55
Akasimama na kubariki kusanyiko lote la Israeli kwa sauti kubwa akisema:
56
“Ahimidiwe Bwana, aliyewapa pumziko watu wake Israeli kama vile alivyokuwa ameahidi. Hakuna hata neno moja lililopunguka kati ya ahadi zote nzuri alizozitoa kupitia mtumishi wake Mose.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options