Skip to content
1 Wafalme 8:10-11

1 Wafalme 8:10-11

10
Makuhani walipoondoka katika Mahali Patakatifu, wingu likajaza Hekalu la Bwana.
11
Nao makuhani hawakuweza kufanya huduma yao kwa sababu ya lile wingu, kwa kuwa utukufu wa Bwana ulijaza Hekalu lake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options