Skip to content
1 Wafalme 22:37-38

1 Wafalme 22:37-38

37
Basi mfalme akafa na akaletwa Samaria, nao wakamzika huko.
38
Wakasafisha lile gari la vita katika bwawa la Samaria (mahali makahaba walipooga), na mbwa wakaramba damu yake, sawasawa na neno la Bwana lilivyokuwa limesema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options