Skip to content
1 Wafalme 22:26-27

1 Wafalme 22:26-27

26
Kisha mfalme wa Israeli akaagiza, “Mchukueni na mkamrudishe kwa Amoni mtawala wa mji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.
27
Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe chochote ila mkate na maji mpaka nitakaporudi salama.’ ”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options