Skip to content
1 Wafalme 18:34-35

1 Wafalme 18:34-35

34
Akawaambia, “Fanyeni hivyo tena.” Nao wakafanya hivyo tena. Akaagiza, “Fanyeni kwa mara ya tatu.” Nao wakafanya hivyo kwa mara ya tatu.
35
Maji yakatiririka kuizunguka madhabahu na hata kujaza lile handaki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options