Skip to content
1 Yohana 5:14-15

1 Yohana 5:14-15

14
Huu ndio ujasiri tulio nao tunapomkaribia Mungu, kwamba kama tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.
15
Nasi kama tunajua atusikia, lolote tuombalo, tunajua ya kwamba tumekwisha kupata zile haja tulizomwomba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options