Skip to content
1 Yohana 4:15-16

1 Yohana 4:15-16

15
Kila akiriye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, basi Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya Mungu.
16
Hivyo nasi twajua na kulitumainia pendo la Mungu alilo nalo kwa ajili yetu. Mungu ni Upendo. Kila akaaye katika upendo hukaa ndani ya Mungu na Mungu hukaa ndani yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options