Skip to content
1 Yohana 4:10-11

1 Yohana 4:10-11

10
Hili ndilo pendo: si kwamba tulimpenda Mungu, bali yeye alitupenda, akamtuma Mwanawe, ili yeye awe dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu.
11
Marafiki wapendwa, kama Mungu alivyotupenda sisi, imetupasa na sisi kupendana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options