1 Yohana 3:4-6
4
Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, kwa kuwa dhambi ni uasi.
5
Lakini mwajua ya kuwa yeye alidhihirishwa ili aziondoe dhambi, wala ndani yake hamna dhambi.
6
Kila mtu akaaye ndani yake hatendi dhambi. Kila mtu atendaye dhambi hakumwona yeye wala hakumtambua.