Skip to content
1 Yohana 3:21-22

1 Yohana 3:21-22

21
Wapendwa, kama mioyo yetu haituhukumu, tunao ujasiri mbele za Mungu,
22
lolote tuombalo, twalipokea kutoka kwake, kwa sababu tumezitii amri zake na kutenda yale yanayompendeza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options