Skip to content
1 Yohana 3:20-21

1 Yohana 3:20-21

20
kila mara mioyo yetu inapotuhukumu. Kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu, naye anajua kila kitu.
21
Wapendwa, kama mioyo yetu haituhukumu, tunao ujasiri mbele za Mungu,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options