1 Yohana 3:19-21
19
Basi hivi ndivyo tutakavyoweza kujua ya kuwa sisi tu wa kweli na hivyo twaithibitisha mioyo yetu mbele za Mungu
20
kila mara mioyo yetu inapotuhukumu. Kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu, naye anajua kila kitu.
21
Wapendwa, kama mioyo yetu haituhukumu, tunao ujasiri mbele za Mungu,