Skip to content
1 Yohana 1:6-7

1 Yohana 1:6-7

6
Kama tukisema kwamba twashirikiana naye huku tukienenda gizani, twasema uongo, wala hatutendi lililo kweli.
7
Lakini tukienenda nuruni, kama yeye alivyo nuruni, twashirikiana sisi kwa sisi na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options