Skip to content
1 Yohana 1:5-6

1 Yohana 1:5-6

5
Huu ndio ujumbe tuliosikia kutoka kwake na kuwatangazia ninyi: kwamba Mungu ni nuru na ndani yake hamna giza lolote.
6
Kama tukisema kwamba twashirikiana naye huku tukienenda gizani, twasema uongo, wala hatutendi lililo kweli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options