Skip to content
1 Yohana 1:3-4

1 Yohana 1:3-4

3
Twawatangazia lile tuliloliona na kulisikia, ili nanyi mwe na ushirika nasi. Na ushirika wetu hasa ni pamoja na Baba na Mwanawe, Yesu Kristo.
4
Tunaandika mambo haya ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options