Skip to content
1 Yohana 1:3-4

1 Yohana 1:3-4

3
Twawatangazia lile tuliloliona na kulisikia, ili nanyi mwe na ushirika nasi. Na ushirika wetu hasa ni pamoja na Baba na Mwanawe, Yesu Kristo.
4
Tunaandika mambo haya ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options