Skip to content
1 Wakorintho 6:15-16

1 Wakorintho 6:15-16

15
Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya Kristo mwenyewe? Je, nichukue viungo vya mwili wa Kristo na kuviunganisha na mwili wa kahaba? La hasha!
16
Hamjui kwamba aliyeungwa na kahaba anakuwa mwili mmoja naye? Kwa kuwa imenenwa, “Hao wawili watakuwa mwili mmoja.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options