Skip to content
1 Wakorintho 5:12-13

1 Wakorintho 5:12-13

12
Yanihusu nini kuwahukumu wale watu walio nje ya kanisa? Je, si mnapaswa kuwahukumu hao walio ndani?
13
Mungu atawahukumu hao walio nje. “Ninyi mwondoeni huyo mtu mwovu miongoni mwenu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options