Skip to content
1 Wakorintho 3:1-2

1 Wakorintho 3:1-2

1
Ndugu zangu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho, bali kama watu wa mwilini, kama watoto wachanga katika Kristo.
2
Naliwanywesha maziwa, wala si chakula kigumu, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa hicho chakula. Naam, hata sasa hamko tayari.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options