Skip to content
1 Wakorintho 3:1-2

1 Wakorintho 3:1-2

1
Ndugu zangu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho, bali kama watu wa mwilini, kama watoto wachanga katika Kristo.
2
Naliwanywesha maziwa, wala si chakula kigumu, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa hicho chakula. Naam, hata sasa hamko tayari.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options