Skip to content
1 Wakorintho 2:9-10

1 Wakorintho 2:9-10

9
Lakini ni kama ilivyoandikwa: “Hakuna jicho limepata kuona, wala sikio limepata kusikia, wala hayakuingia moyoni wowote, yale Mungu amewaandalia wale wampendao”:
10
Lakini mambo haya Mungu ametufunulia kwa Roho wake. Roho huchunguza kila kitu, hata mambo ya ndani sana ya Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options