1 Wakorintho 15:5-7
5
na kwamba alimtokea Kefa, kisha akawatokea wale kumi na wawili.
6
Baadaye akawatokea wale ndugu waumini zaidi ya 500 kwa pamoja, ambao wengi wao bado wako hai, ingawa wengine wamelala.
7
Ndipo akamtokea Yakobo na kisha mitume wote.