Skip to content
1 Wakorintho 15:5-6

1 Wakorintho 15:5-6

5
na kwamba alimtokea Kefa, kisha akawatokea wale kumi na wawili.
6
Baadaye akawatokea wale ndugu waumini zaidi ya 500 kwa pamoja, ambao wengi wao bado wako hai, ingawa wengine wamelala.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options