Skip to content
1 Wakorintho 15:24-26

1 Wakorintho 15:24-26

24
Ndipo mwisho utafika, wakati atakapomkabidhi Mungu Baba ufalme, akiisha angamiza kila utawala na kila mamlaka na nguvu.
25
Kwa maana lazima Kristo atawale mpaka awe amewaweka adui zake wote chini ya miguu yake.
26
Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni mauti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options