Chuyển đến nội dung
1 Wakorintho 15:21-22

1 Wakorintho 15:21-22

21
Kwa maana kama vile mauti ilivyokuja kwa njia ya mtu mmoja, vivyo hivyo, ufufuo wa wafu umekuja kwa njia ya mtu mmoja.
22
Kwa maana kama vile katika Adamu watu wote wanakufa, vivyo hivyo katika Kristo wote watafanywa hai.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options