Skip to content
1 Wakorintho 12:23-24

1 Wakorintho 12:23-24

23
Navyo vile viungo tunavyoviona havina heshima, ndivyo tunavipa heshima maalum. Vile viungo vya mwili ambavyo havina uzuri, tunavipa heshima ya pekee;
24
wakati vile viungo vyenye uzuri havihitaji utunzaji wa pekee. Lakini Mungu ameviweka pamoja viungo vya mwili na akavipa heshima zaidi vile vilivyopungukiwa,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options