1 Wakorintho 11:30-32
30
Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.
31
Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa.
32
Tunapohukumiwa na Bwana, tunaadibishwa ili tusije tukahukumiwa pamoja na ulimwengu.