Skip to content
1 Wakorintho 11:29-30

1 Wakorintho 11:29-30

29
Kwa maana mtu yeyote alaye na kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana, hula na kunywa hukumu juu yake mwenyewe.
30
Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options