Skip to content
1 Wakorintho 11:28-29

1 Wakorintho 11:28-29

28
Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.
29
Kwa maana mtu yeyote alaye na kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana, hula na kunywa hukumu juu yake mwenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options