Skip to content
1 Wakorintho 10:7-8

1 Wakorintho 10:7-8

7
Msiwe waabudu sanamu, kama baadhi yao walivyokuwa, kama ilivyoandikwa, “Watu waliketi chini kula na kunywa, kisha wakainuka kucheza na kufanya sherehe za kipagani.”
8
Wala tusifanye uzinzi kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu 23,000 kwa siku moja.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options