Skip to content
1 Wakorintho 10:5-6

1 Wakorintho 10:5-6

5
Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani.
6
Basi mambo haya yalitokea kama mifano ili kutuzuia tusiweke mioyo yetu katika mambo maovu kama wao walivyofanya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options