Skip to content
1 Wakorintho 1:8-9

1 Wakorintho 1:8-9

8
Atawafanya imara mpaka mwisho, ili msiwe na hatia siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
9
Mungu ambaye mmeitwa naye ili mwe na ushirika na Mwanawe Yesu Kristo, Bwana wetu ni mwaminifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options