Skip to content
1 Wakorintho 1:30-31

1 Wakorintho 1:30-31

30
Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanyika kwetu hekima itokayo kwa Mungu, yaani haki, na utakatifu na ukombozi.
31
Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options