29
ili mtu yeyote asijisifu mbele zake.
30
Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanyika kwetu hekima itokayo kwa Mungu, yaani haki, na utakatifu na ukombozi.
31
Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana.”