Skip to content
1 Nyakati 5:23-24

Nusu ya kabila la Manase upande wa mashariki

1 Nyakati 5:23-24
23
Idadi ya nusu ya kabila la Manase walikuwa wengi sana, Wakakaa kuanzia Bashani hadi Baal-Hermoni, yaani mpaka Seniri na mlima Hermoni.
24
Hawa ndio waliokuwa viongozi wa jamaa za kabila hilo: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia na Yahdieli. Walikuwa askari shujaa watu maarufu, viongozi wa jamaa zao.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options