Skip to content
1 Nyakati 4:1-6

1 Nyakati 4:1-6

1
Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
2
Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.
3
Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi.
4
Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha. Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.
5
Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
6
Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options